Surah Sad aya 88 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَتَعْلَمُنَّ نَبَأَهُ بَعْدَ حِينٍ﴾
[ ص: 88]
Na bila ya shaka mtajua khabari zake baada ya muda.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And you will surely know [the truth of] its information after a time."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bila ya shaka mtajua khabari zake baada ya muda.
Na hapana shaka nyinyi, mnao ikadhibisha Qurani, mtakuja jua karibuni hivi ukweli uliomo ndani yake wa ahadi, na maonyo, na khabari za mambo yatakayo kuja, na Ishara za ulimwengu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!
- Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.
- Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
- Kwa hakika wale walio kufuru watanadiwa: Bila ya shaka kukuchukieni Mwenyezi Mungu ni kukubwa kuliko
- Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
- Ili tuwajaribu kwa hayo. Na anaye puuza kumkumbuka Mola wake Mlezi atamsukuma kwenye adhabu ngumu.
- Na soma uliyo funuliwa katika Kitabu cha Mola wako Mlezi. Hapana wa kubadilisha maneno yake.
- Hakika wachamngu wanastahiki kufuzu,
- Vya fedha safi kama kiyoo, wamevipima kwa vipimo.
- Hakika sisi tutaiondoa adhabu kidogo, lakini nyinyi kwa yakini mtarejea vile vile!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers