Surah Maarij aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ﴾
[ المعارج: 31]
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But whoever seeks beyond that, then they are the transgressors -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
Basi mwenye kutafuta starehe ya maingiliano kwa wasio kuwa wake na masuria, basi hao tena ni wenye kuikiuka halali na kuingia katika haramu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale
- Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi.
- Wale ambao wameamini, na hawakuchanganya imani yao na dhulma - hao ndio watakao pata amani
- Na Musa akawateuwa watu sabiini katika kaumu yake kwa miadi yetu. Na ulipo fika mtetemeko
- Hakikingi moto, wala hakiwaepushi na mwako.
- Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio
- Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu.
- Matunda yake yakaribu.
- Zilizo inuliwa, zilizo takaswa.
- Je! Umemwona aliye yafanya matamanio yake kuwa ndio mungu wake? Basi je, wewe utakuwa ni
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers