Surah Maarij aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ﴾
[ المعارج: 31]
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But whoever seeks beyond that, then they are the transgressors -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
Basi mwenye kutafuta starehe ya maingiliano kwa wasio kuwa wake na masuria, basi hao tena ni wenye kuikiuka halali na kuingia katika haramu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na muabudu Mola wako Mlezi mpaka ikufikie Yakini.
- Basi ukiwakuta vitani wakimbize walio nyuma yao ili wapate kukumbuka.
- Haya ni kwa sababu ya iliyo tanguliza mikono yenu, na kwamba Mwenyezi Mungu si mwenye
- Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu
- Na Mwenyezi Mungu amekuumbieni wake katika jinsi yenu, na akakujaalieni kutoka kwa wake zenu wana
- Basi ama yule aliye zidi ujeuri,
- Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
- Hakika siku ya Sabato (Jumaamosi) waliwekewa wale walio khitalifiana kwa ajili yake. Na hakika Mola
- Hakika wachamngu watakuwa katika vivuli na chemchem,
- NA WANAWAKE wenye waume, isipo kuwa walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Ndiyo Sharia
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers