Surah Zukhruf aya 89 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَاصْفَحْ عَنْهُمْ وَقُلْ سَلَامٌ ۚ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ﴾
[ الزخرف: 89]
Basi wasamehe, na uwambie maneno ya salama. Watakuja jua.
Surah Az-Zukhruf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So turn aside from them and say, "Peace." But they are going to know.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi wasamehe, na uwambie maneno ya salama. Watakuja jua.
Basi waachilie mbali, ewe Mtume, kwa wingi wa inda yao, na waambie: Langu mimi nikukuacheni kwa salama yenu kutoka kwangu, na salama yangu kutoka kwenu. Nanyi mtakuja jua kuwa mwisho wa inda yao ni khasara iliyo wazi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
- Na wanaapa kwa Mwenyezi Mungu kwamba wao ni katika nyinyi, wala wao si katika nyinyi.
- Na msip o mkuta mtu humo basi msiingie mpaka mruhusiwe. Na mkiambiwa: Rudini! Basi rudini.
- Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!
- Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
- Sema: Je! Yupo katika miungu yenu ya ushirikina aliye anzisha kuumba viumbe, na kisha akavirejesha?
- Na makhazina, na vyeo vya hishima,
- Hao makao yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo.
- Mwenyezi Mungu ameifanya Al Kaaba, hii Nyumba Tukufu, ni simamio la watu, na kadhaalika Miezi
- Hakika Mwenyezi Mungu anakukatazeni kufanya urafiki na wale walio kupigeni vita, na wakakutoeni makwenu, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب