Surah zariyat aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا تَذَرُ مِن شَيْءٍ أَتَتْ عَلَيْهِ إِلَّا جَعَلَتْهُ كَالرَّمِيمِ﴾
[ الذاريات: 42]
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
Surah Adh-Dhariyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
It left nothing of what it came upon but that it made it like disintegrated ruins.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
Upepo huo haupiti kwa kitu chochote ila hukiacha kama fupa lilio nyambuka.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika tuliwajaribu walio kuwa kabla yao, na kwa yakini Mwenyezi Mungu atawatambulisha walio wa kweli
- Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
- Wewe huna lako jambo katika haya - ama atawahurumia au atawaadhibu, kwani wao ni madhaalimu.
- Siku watakapo sikia ukelele wa haki. Hiyo ndiyo siku ya kufufuka.
- Ati wanawafanya viumbe kuwa ni washirika wa Mwenyezi Mungu, nao hawaumbi, bali wao ndio wanaumbwa?
- Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnakanusha ishara za Mwenyezi Mungu, na ilhali kuwa
- Na wa mwanzo wao watawaambia wa mwisho wao: Basi nyinyi pia hamkuwa na ubora kuliko
- Bustani zenye matawi yaliyo tanda.
- Je! Hawaoni ya kwamba tumeifanya nchi takatifu ina amani, na hali watu wengine wananyakuliwa kote
- Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



