Surah zariyat aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا تَذَرُ مِن شَيْءٍ أَتَتْ عَلَيْهِ إِلَّا جَعَلَتْهُ كَالرَّمِيمِ﴾
[ الذاريات: 42]
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
Surah Adh-Dhariyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
It left nothing of what it came upon but that it made it like disintegrated ruins.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
Upepo huo haupiti kwa kitu chochote ila hukiacha kama fupa lilio nyambuka.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akamfundisha kubaini.
- Basi muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na Nuru tuliyo iteremsha. Na Mwenyezi Mungu anazo
- Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
- Ziingie katika Moto unao waka -
- Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
- Subhanahu Wa Taa'la, Ametakasika na Ametukuka juu kabisa na hayo wanayo yasema.
- Kisha baada yao tukamtuma Musa na Haruni kwa Firauni na waheshimiwa wake, kwa Ishara zetu.
- Sema: Mimi naogopa adhabu ya Siku kubwa hiyo ikiwa nitamuasi Mola wangu Mlezi.
- Na bila ya shaka tulimtuma Musa kwa Ishara zetu ende kwa Firauni na waheshimiwa wake,
- Na kwamba Yeye ndiye aliye umba jozi, dume na jike
Quran Surah in Swahili :
Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



