Surah Shuara aya 94 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ﴾
[ الشعراء: 94]
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So they will be overturned into Hellfire, they and the deviators
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
Watatumbukizwa katika Jahannamu kifudifudi, wakipinduliwa pinduliwa mpaka waishie ndani kabisa shimoni, wao na walio wapoteza na wakawatia katika madhambi na upotovu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Nitampataje mwana hali mwanaadamu yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba?
- Je! Yupo mmoja wenu anaye penda kuwa na kitalu cha mitende na mizabibu ipitayo mito
- Hakuna kheri katika mengi ya wanayo shauriana kwa siri, isipo kuwa kwa yule anaye amrisha
- Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
- Na kwa Aliye umba dume na jike!
- Basi kumbusha, kama kukumbusha kunafaa.
- Kwa hakika Sisi tulikadimisha amana kwa mbingu na ardhi na milima; na vyote hivyo vikakataa
- Na lau isinge kuwa watu watakuwa kundi moja tungeli wajaalia wanao mkufuru Rahmani wana nyumba
- Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
- Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



