Surah Shuara aya 94 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ﴾
[ الشعراء: 94]
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So they will be overturned into Hellfire, they and the deviators
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
Watatumbukizwa katika Jahannamu kifudifudi, wakipinduliwa pinduliwa mpaka waishie ndani kabisa shimoni, wao na walio wapoteza na wakawatia katika madhambi na upotovu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hao ndio makafiri watenda maovu.
- Wala msile katika wale wasio somewa jina la Mwenyezi Mungu. Kwani huo ni upotofu. Na
- Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.
- Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako
- Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
- Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.
- (Akaambiwa:) Piga-piga ardhi kwa mguu wako! Basi haya maji baridi ya kuogea na ya kunywa.
- Hakika wasio taraji kukutana nasi, na wakaridhia maisha ya dunia na wakatua nayo, na walio
- Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
- Na tukampa huruma itokayo kwetu, na utakaso, na akawa mchamungu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers