Surah Shuara aya 94 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ﴾
[ الشعراء: 94]
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So they will be overturned into Hellfire, they and the deviators
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
Watatumbukizwa katika Jahannamu kifudifudi, wakipinduliwa pinduliwa mpaka waishie ndani kabisa shimoni, wao na walio wapoteza na wakawatia katika madhambi na upotovu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na zinazo vuma kwa kasi!
- Pale pale Zakariya akamwomba Mola wake Mlezi, akasema: Mola wangu Mlezi! Nipe kutoka kwako uzao
- Hakika Sisi tunatosha kukukinga na wanao kejeli.
- Na husema: Waliomo matumboni mwa wanyama hawa ni kwa ajili ya wanaume wetu tu, na
- Na wenye kukufuru na kuzikanusha ishara zetu, hao ndio watakao kuwa watu wa Motoni, humo
- Lakini wao wanacheza katika shaka.
- Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
- Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
- Wakasema: Ee baba yetu! Tuombee msamaha kwa dhambi zetu. Hapana shaka sisi tulikuwa na makosa.
- Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



