Surah Shuara aya 94 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ﴾
[ الشعراء: 94]
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So they will be overturned into Hellfire, they and the deviators
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
Watatumbukizwa katika Jahannamu kifudifudi, wakipinduliwa pinduliwa mpaka waishie ndani kabisa shimoni, wao na walio wapoteza na wakawatia katika madhambi na upotovu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mcheni aliye kuumbeni nyinyi na vizazi vilivyo tangulia.
- Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu ameteremsha maji kutoka mbinguni, na kwayo tumeyatoa matunda yenye rangi
- Na hapana mji wowote ila Sisi tutauteketeza kabla ya Siku ya Kiyama, au tutaupa adhabu
- Wala giza na mwangaza.
- Mwenye kutenda uovu hatalipwa ila sawa na huo uwovu wake, na anaye tenda wema, akiwa
- Na walipo ingia kwa Yusuf aliwakumbatia wazazi wake na akasema: Ingieni Misri, Inshallah, mmo katika
- Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni iliyo yayushwa.
- Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
- Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!
- Waiteni kwa baba zao, maana huo ndio uadilifu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ikiwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



