Surah Ahqaf aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahqaf aya 28 in arabic text(The Sand-Dunes).
  
   

﴿فَلَوْلَا نَصَرَهُمُ الَّذِينَ اتَّخَذُوا مِن دُونِ اللَّهِ قُرْبَانًا آلِهَةً ۖ بَلْ ضَلُّوا عَنْهُمْ ۚ وَذَٰلِكَ إِفْكُهُمْ وَمَا كَانُوا يَفْتَرُونَ
[ الأحقاف: 28]

Basi mbona wale walio washika badala ya Mwenyezi Mungu, kuwa ati hao ndio wawakurubishe, hawakuwanusuru? Bali waliwapotea! Na huo ndio uwongo walio kuwa wakiuzua.

Surah Al-Ahqaaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Then why did those they took besides Allah as deities by which to approach [Him] not aid them? But they had strayed from them. And that was their falsehood and what they were inventing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi mbona wale walio washika badala ya Mwenyezi Mungu, kuwa ati hao ndio wawakurubishe, hawakuwanusuru? Bali waliwapotea! Na huo ndio uwongo walio kuwa wakiuzua.


Basi kwani hao walio wafanya miungu badala ya Mwenyezi Mungu ili iwakaribishe kwa Mwenyezi Mtukufu imeweza kuwakinga na maangamizo? Hasha! Bali miungu hiyo iliwakimbia, na hali wao ndio wana haja nayo mno iwanusuru. Na hayo yaliyo wafika, ya kutupwa na miungu yao, na kuwapotea ndio matokeo ya uwongo wao na uzushi wao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 28 from Ahqaf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wake walio lingana nao,
  2. Watu wa Kitabu wanakutaka uwateremshia kitabu kutoka mbinguni. Na kwa hakika walikwisha mtaka Musa makubwa
  3. Bila ya shaka mnaye niitia kumuabudu hastahiki wito duniani wala Akhera. Na hakika marejeo yetu
  4. Na uchochezi wa Shet'ani ukikuchochea basi omba ulinzi wa Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ni Msikizi,
  5. Na anaye fanya juhudi basi bila ya shaka anafanya juhudi kwa ajili ya nafsi yake.
  6. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli wachukulia watu kwa waliyo yachuma, basi asingeli muacha juu
  7. Siku atakayo wafufua Mwenyezi Mungu wote, wamuwapie kama wanavyo kuwapieni nyinyi. Na watadhani kuwa wamepata
  8. Mwenyezi Mungu hubadilisha usiku na mchana. Hakika katika hayo yapo mazingatio kwa wenye kuona.
  9. Yeye ndiye anaye mteremshia mja wake Aya zinazo bainisha wazi ili akutoeni gizani muingie kwenye
  10. Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ahqaf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ahqaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahqaf Complete with high quality
Surah Ahqaf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ahqaf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ahqaf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ahqaf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ahqaf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ahqaf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ahqaf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ahqaf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ahqaf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ahqaf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ahqaf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ahqaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ahqaf Al Hosary
Al Hosary
Surah Ahqaf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ahqaf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, August 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers