Surah Al Fil aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Fil aya 1 in arabic text(The Elephant).
  
   

﴿أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَابِ الْفِيلِ﴾
[ الفيل: 1]

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?

Surah Al-Fil in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Have you not considered, [O Muhammad], how your Lord dealt with the companions of the elephant?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?


Hakika, ewe Muhammad, unajua kwa ujuzi usio ingiliwa na shaka yoyote, alivyo fanya Mola wako Mlezi kuwafanyia wale watu wenye tembo (ndovu), wakataka kuishambulia Nyumba takatifu ya Al-Kaaba.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Al Fil


Ayats from Quran in Swahili

  1. Enyi kaumu yetu! Muitikieni Mwenye kuitia kwa Mwenyezi Mungu, na muaminini, Mwenyezi Mungu atakusameheni, na
  2. Tutamtia kovu juu ya pua yake.
  3. Maamkiano yao siku ya kukutana naye yatakuwa: Salama! Na amewaandalia malipo ya ukarimu.
  4. Na wakasema: Sisi tuna mali mengi zaidi na watoto, wala sisi hatutaadhibiwa.
  5. Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu ilhali nyinyi mnashuhudia?
  6. Wala hatukumfundisha (Muhammad) mashairi, wala hayatakikani kwake hayo. Haukuwa huu ila ni ukumbusho na Qur'ani
  7. Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.
  8. Siku tutapo iambia Jahannamu: Je! Umejaa? Nayo itasema: Je! Kuna ziada?
  9. Wala Mwenyezi Mungu hataiakhirisha nafsi yoyote inapo fika ajali yake; na Mwenyezi Mungu anazo khabari
  10. Na kwa yakini tulimpa Musa Kitabu; zikazuka khitilafu ndani yake. Na lau kuwa si neno

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Fil with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Fil mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Fil Complete with high quality
Surah Al Fil Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Fil Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Fil Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Fil Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Fil Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Fil Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Fil Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Fil Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Fil Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Fil Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Fil Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Fil Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Fil Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Fil Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Fil Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, August 29, 2026

Please remember us in your sincere prayers