Surah Hijr aya 89 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقُلْ إِنِّي أَنَا النَّذِيرُ الْمُبِينُ﴾
[ الحجر: 89]
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And say, "Indeed, I am the clear warner" -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
Ewe Nabii! Waambie makafiri wote: Mimi nakuonyeni na adhabu kali, na nakubainishieni maonyo yangu kwa hoja za kukata.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ni vyake vilio tulia usiku na mchana. Naye ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na neema,
- Wakasema: Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu.
- Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
- Nenda, wewe na ndugu yako, pamoja na ishara zangu, wala msichoke kunikumbuka.
- Na walio amini na wakatenda mema wataingizwa katika Mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo
- Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
- Akasema: Leo hapana lawama juu yenu. Mwenyezi Mungu atakusameheni, naye ni Mwingi wa kurehemu kuliko
- Na Sisi tunajua kwa hakika kuwa wewe kifua chako kinaona dhiki kwa hayo wayasemayo.
- Na tukimwonjesha mtu rehema inayo toka kwetu, kisha tukamwondolea, hukata tamaa akakufuru.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



