Surah Hijr aya 89 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقُلْ إِنِّي أَنَا النَّذِيرُ الْمُبِينُ﴾
[ الحجر: 89]
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And say, "Indeed, I am the clear warner" -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
Ewe Nabii! Waambie makafiri wote: Mimi nakuonyeni na adhabu kali, na nakubainishieni maonyo yangu kwa hoja za kukata.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wawekeni humo humo mnamo kaa nyinyi kwa kadiri ya pato lenu, wala msiwaletee madhara kwa
- Na nyinyi mlikuwa mkitamani mauti kabla hamjakutana nayo. Basi sasa mmekwisha yaona na huku mnayatazama.
- Na waozeni wajane miongoni mwenu na wema katika watumwa wenu na wajakazi wenu. Wakiwa mafakiri
- Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
- Hapana shaka ya kwamba hao ndio wenye kukhasiri Akhera.
- Macho yatainama chini.
- Nyinyi na baba zenu wa zamani?
- Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi
- Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.
- Basi jua ya kwamba hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, na omba maghufira kwa dhambi zako
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers