Surah Hijr aya 89 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقُلْ إِنِّي أَنَا النَّذِيرُ الْمُبِينُ﴾
[ الحجر: 89]
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And say, "Indeed, I am the clear warner" -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
Ewe Nabii! Waambie makafiri wote: Mimi nakuonyeni na adhabu kali, na nakubainishieni maonyo yangu kwa hoja za kukata.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- La! Karibu watakuja jua.
- Tutazitia khofu nyoyo za walio kufuru kwa vile walivyo mshirikisha Mwenyezi Mungu na washirika ambao
- Na wale ambao huyaunga aliyo amrisha Mwenyezi Mungu yaungwe, na wanaikhofu hisabu mbaya.
- Na enyi watu wangu! Kukhalifiana nami kusikupelekeeni hata mkasibiwa kama walivyo sibiwa watu wa Nuhu,
- Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
- Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
- Na ukiwauliza; Nani aliye umba mbingu na ardhi na akafanya jua na mwezi kuti'ii amri
- Sikuwa na ilimu ya mambo ya viumbe wakuu watukufu walipo kuwa wakishindana.
- Hakika walio kufuru na wakazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu, wamekwisha potelea mbali.
- Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب