Surah Jumuah aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jumuah aya 1 in arabic text(Friday).
  
   

﴿يُسَبِّحُ لِلَّهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ الْمَلِكِ الْقُدُّوسِ الْعَزِيزِ الْحَكِيمِ﴾
[ الجمعة: 1]

Viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi vinamtakasa Mwenyezi Mungu, Mfalme, Mtakatifu, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

Surah Al-Jumuah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Whatever is in the heavens and whatever is on the earth is exalting Allah, the Sovereign, the Pure, the Exalted in Might, the Wise.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi vinamtakasa Mwenyezi Mungu, Mfalme, Mtakatifu, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.


Vitu vyote viliomo katika mbingu na viliomo katika ardhi vinamsabihi na kumtakasa Mwenyezi Mungu na kila kisicho kuwa laiki, Yeye ndiye Mfalme wa kila kitu, Mwenye kuendesha atakavyo bila ya mpinzani, Mwenye kutakasika kwa ukamilifu na kila cha upungufu, Mwenye kushinda kila kitu, Mwenye hikima ya kufika mwisho.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Jumuah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akasema: Mola wetu Mlezi ni yule aliye kipa kila kitu umbo lake, kisha akakiongoa.
  2. Kwa wafanyao wema ni wema na zaidi. Wala vumbi halitawafunika nyuso zao, wala madhila. Hao
  3. Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
  4. Je, hawahidiki hawa wanao rithi ardhi baada ya wale wenyewe kwamba tukitaka tutawapatiliza kwa madhambi
  5. Msitoe udhuru; mmekwisha kufuru baada ya kuamini kwenu! Tukilisamehe kundi moja kati yenu, tutaliadhibu kundi
  6. Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu: Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini;
  7. Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Kaziumba Mwenye nguvu,
  8. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na
  9. Wakasema: Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika
  10. Na Mwenyezi Mungu alikwisha kunusuruni katika Badri nanyi mlikuwa wanyonge. Basi mcheni Mwenyezi Mungu ili

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jumuah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jumuah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jumuah Complete with high quality
Surah Jumuah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jumuah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jumuah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jumuah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jumuah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jumuah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jumuah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Jumuah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jumuah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jumuah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jumuah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jumuah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jumuah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jumuah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jumuah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 11, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب