Surah Zalzalah aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذَا زُلْزِلَتِ الْأَرْضُ زِلْزَالَهَا﴾
[ الزلزلة: 1]
Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
Surah Az-Zalzalah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When the earth is shaken with its [final] earthquake
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
Ikitisika ardhi kwa mtikiso mkubwa, na ikasukika kwa ukomo wa kutisika na kusukika kunako mkinika na ikaweza kuchukua!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Mola wako Mlezi mtukuze!
- Na katika wao wapo wanao sema: Mola wetu Mlezi, tupe duniani mema, na Akhera mema,
- Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi
- Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.
- Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
- Siku hiyo walio kufuru na wakamuasi Mtume watatamani ardhi isawazishwe juu yao. Wala hawataweza kumficha
- Basi wakawakanusha, na wakawa miongoni mwa walio angamizwa.
- Na kwa usiku unapo pita,
- Humo hawatasikia upuuzi, ila Salama tu. Na watapata humo riziki zao asubuhi na jioni.
- Wana choyo juu yenu. Ikifika khofu utawaona wanakutazama na macho yao yanazunguka, kama yule ambaye
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zalzalah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zalzalah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zalzalah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers