Surah Zalzalah aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذَا زُلْزِلَتِ الْأَرْضُ زِلْزَالَهَا﴾
[ الزلزلة: 1]
Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
Surah Az-Zalzalah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When the earth is shaken with its [final] earthquake
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
Ikitisika ardhi kwa mtikiso mkubwa, na ikasukika kwa ukomo wa kutisika na kusukika kunako mkinika na ikaweza kuchukua!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wale walao riba hawasimami ila kama anavyo simama aliye zugwa na Shet'ani kwa kumgusa. Hayo
- Na kwa bahari iliyo jazwa,
- Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?
- Ili ahakikishe Haki na auvunje upotovu na wangachukia wakosefu.
- Na tukamfunulia hukumu hiyo, ya kwamba hata wa mwisho wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha
- Hakika Sisi tunahuisha na tunafisha, na kwetu Sisi ndio marejeo.
- Na atendaye mema naye ni Muumini basi haitakataliwa juhudi yake. Na hakika Sisi tunamwandikia.
- Wakifurahi kwa yale aliyo wapa Mola wao Mlezi. Na Mola wao Mlezi atawalinda na adhabu
- Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
- Je! Sikuagana nanyi, enyi wanaadamu, kuwa msimuabudu Shet'ani? Hakika yeye ni adui dhaahiri kwenu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zalzalah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zalzalah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zalzalah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers