Surah Assaaffat aya 116 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَنَصَرْنَاهُمْ فَكَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ﴾
[ الصافات: 116]
Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We supported them so it was they who overcame.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
Na Sisi tukawanusuru na adui zao, wakawa wao ndio wenye kushinda.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika vilima vya Safaa na Marwa ni katika alama za Mwenyezi Mungu. Basi anaye hiji
- Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao
- Wala sitaabudu mnacho abudu.
- Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.
- Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
- Maadui hawatakudhuruni ila ni maudhi tu. Na wakipigana nanyi watakupeni mgongo, na tena hawatanusuriwa.
- Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!
- Hakika wasio amini Akhera bila ya shaka wao ndio wanawaita Malaika kwa majina ya kike.
- Na kwa yakini wewe unawaita kwenye Njia Iliyo Nyooka.
- Wanatimiza ahadi, na wanaiogopa siku ambayo shari yake inaenea sana,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers