Surah Hijr aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا مِن قَبْلِكَ فِي شِيَعِ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الحجر: 10]
Na hakika tulikwisha watumia Mitume mataifa ya mwanzo.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We had certainly sent [messengers] before you, [O Muhammad], among the sects of the former peoples.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika tulikwisha watumia Mitume mataifa ya mwanzo.
Na ewe Mtume Muaminifu! Usihuzunike; kwani Sisi tuliwatuma Mitume kabla yako kwa mataifa ambao wameshikilia upotovu kama hao walivyo shikilia. Na wao wamepita pamoja na wa kale walio teketezwa kwa ukafiri wao!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na uchochezi wa Shet'ani ukikuchochea basi omba ulinzi wa Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ni Msikizi,
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
- Au wanasema: Ameizua mwenyewe! Sema: Ikiwa nimeizua mimi, basi nyinyi hamwezi kunifaa chochote mbele ya
- Waombee msamaha au usiwaombee. Hata ukiwaombea msamaha mara sabiini, Mwenyezi Mungu hatawasamehe. Hayo ni kwa
- Ambayo kwayo wanakhitalifiana.
- Na mbingu itapo tanduliwa,
- Na chochote mlicho pewa ni matumizi ya maisha ya dunia na pambo lake. Na yaliyoko
- Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



