Surah Hijr aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا مِن قَبْلِكَ فِي شِيَعِ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الحجر: 10]
Na hakika tulikwisha watumia Mitume mataifa ya mwanzo.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We had certainly sent [messengers] before you, [O Muhammad], among the sects of the former peoples.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika tulikwisha watumia Mitume mataifa ya mwanzo.
Na ewe Mtume Muaminifu! Usihuzunike; kwani Sisi tuliwatuma Mitume kabla yako kwa mataifa ambao wameshikilia upotovu kama hao walivyo shikilia. Na wao wamepita pamoja na wa kale walio teketezwa kwa ukafiri wao!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Yeye ndiye aliye kutawanyeni katika ardhi, na kwake mtakusanywa.
- Akasema: Sikukwambia hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami?
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na mito.
- Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Iwe salama kwa Ilyas.
- Wakakiri dhambi zao. Basi kuangamia ni kwa watu wa Motoni!
- Isipo kuwa wale walio tubu, na wakatengeneza na wakashikamana na Mwenyezi Mungu, na wakamtakasia Dini
- Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.
- Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



