Surah Yunus aya 100 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yunus aya 100 in arabic text(Jonah).
  
   
ayat 100 from Surah Yunus

﴿وَمَا كَانَ لِنَفْسٍ أَن تُؤْمِنَ إِلَّا بِإِذْنِ اللَّهِ ۚ وَيَجْعَلُ الرِّجْسَ عَلَى الَّذِينَ لَا يَعْقِلُونَ
[ يونس: 100]

Na hawezi mtu kuamini ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Naye hujaalia adhabu iwafike wasio tumia akili zao.

Surah Yunus in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And it is not for a soul to believe except by permission of Allah, and He will place defilement upon those who will not use reason.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hawezi mtu kuamini ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Naye hujaalia adhabu iwafike wasio tumia akili zao.


Hawezi mtu kuamini ila akiielekeza nafsi yake kwa hayo, na Mwenyezi Mungu akamsahilishia sababu na njia za hayo. Ama yule asiye ielekea Imani huyo basi amestahiki kukasirikiwa na Mwenyezi Mungu, na kupata adhabu yake. Na mwendo wa Mwenyezi Mungu ni kuwapa adhabu na ghadhabu wale wanao zipuuza na kuzikataa hoja zilio wazi, na wala hawazizingatii.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 100 from Yunus


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wakisomewa Aya zetu zilizo wazi hawana hoja ila kusema: Waleteni baba zetu, ikiwa nyinyi
  2. Wale ambao tukiwapa madaraka katika nchi husimamisha Sala, na wakatoa Zaka, na wakaamrisha mema, na
  3. Bali wanastaajabu kwamba amewafikia mwonyaji kutoka miongoni mwao, na wakasema makafiri: Hili ni jambo la
  4. Hujui kwamba Mwenyezi Mungu ana ufalme wa mbingu na ardhi? Nanyi hamna mlinzi wala msaidizi
  5. Na wapigie mfano wa watu wawili: mmoja wao tulimpa vitalu viwili vya mizabibu, na tukavizungushia
  6. Na tukawapa rehema zetu na tukawajaalia kupewa sifa za kweli tukufu.
  7. Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.
  8. Je! Hawaoni ya kwamba tumeifanya nchi takatifu ina amani, na hali watu wengine wananyakuliwa kote
  9. Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
  10. Na Mwenyezi Mungu alipo kuahidini kuwa moja katika makundi mawili ni lenu. Nanyi mkapenda lisilo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Surah Yunus Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yunus Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yunus Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yunus Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yunus Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yunus Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yunus Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Yunus Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yunus Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yunus Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yunus Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yunus Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yunus Al Hosary
Al Hosary
Surah Yunus Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yunus Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, April 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers