Surah Qalam aya 41 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ فَلْيَأْتُوا بِشُرَكَائِهِمْ إِن كَانُوا صَادِقِينَ﴾
[ القلم: 41]
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or do they have partners? Then let them bring their partners, if they should be truthful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
Kwani wanao wanao shirikiana nao, na wanao fuata mwendo wao katika kauli yao hii? Basi na wawalete hao washirika wao, ikiwa wao ni wasema kweli katika madai yao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na aliye ileta Kweli na akaithibitisha - hao ndio wachamngu.
- Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
- Na kikundi kati yao walisema: Kwa nini mnawawaidhi watu ambao tangu hapo Mwenyezi Mungu atawateketeza
- Na walisema: Kwa nini hakutuletea muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Je! Haikuwafikilia dalili wazi
- Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.
- Hao wanao waomba, wao wenyewe wanatafuta njia ya kwendea kwa Mola wao Mlezi - hata
- Na walisema: Hapana ila huu uhai wetu wa duniani - twafa na twaishi, na hapana
- Na huanguka kifudifudi na huku wanalia, na inawazidisha unyenyekevu.
- Na mna nini hata hamumuamini Mwenyezi Mungu na hali Mtume anakuiteni mumuamini Mola wenu Mlezi?
- Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers