Surah Qalam aya 41 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ فَلْيَأْتُوا بِشُرَكَائِهِمْ إِن كَانُوا صَادِقِينَ﴾
[ القلم: 41]
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or do they have partners? Then let them bring their partners, if they should be truthful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
Kwani wanao wanao shirikiana nao, na wanao fuata mwendo wao katika kauli yao hii? Basi na wawalete hao washirika wao, ikiwa wao ni wasema kweli katika madai yao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,
- Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!
- Na ambaye amekadiria na akaongoa,
- Na siku atakayo wakusanya wote, kisha atawaambia Malaika: Je! Hawa walikuwa wakikuabuduni?
- Isipo kuwa wanao sali,
- Na kama ingeli kuwako Qur'ani ndiyo inayo endeshewa milima, na kupasuliwa ardhi, na kusemeshewa wafu,
- Na kila mmoja katika wao atamfikia Siku ya Kiyama peke yake.
- Na kwa bahari iliyo jazwa,
- Basi litapo pulizwa barugumu,
- Na walio amini na wakatenda mema wataingizwa katika Mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



