Surah Qadr aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تَنَزَّلُ الْمَلَائِكَةُ وَالرُّوحُ فِيهَا بِإِذْنِ رَبِّهِم مِّن كُلِّ أَمْرٍ﴾
[ القدر: 4]
Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo.
Surah Al-Qadr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The angels and the Spirit descend therein by permission of their Lord for every matter.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo.
Huteremka Malaika na Jibrili katika usiku huo mpaka kwenye ardhi kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa sababu ya kila jambo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hata tutakapo watia katika adhabu wale walio dekezwa kwa starehe kati yao, hapo ndipo watapo
- Na wanasema: Lini ahadi hii, ikiwa mnasema kweli?
- Mtupeni katika Jahannamu kila kafiri mwenye inda,
- Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu, na Yeye ndiye Mlinzi juu ya kila kitu.
- Watasema: Ni vya Mwenyezi Mungu! Sema: Basi, je, hamkumbuki?
- Akasema: Humo mtaishi, na humo mtakufa, na kutoka humo mtatolewa.
- Anaye dhani kwamba Mwenyezi Mungu hatamnusuru (Mtume) katika dunia na Akhera na afunge kamba kwenye
- Na ndugu zao wanawavutia kwenye upotofu, kisha wao hawaachi.
- Usimfanye mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu, usije ukawa wa kulaumiwa uliye tupika.
- Ni nini kilicho kupelekeni Motoni?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qadr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qadr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qadr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers