Surah Qadr aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تَنَزَّلُ الْمَلَائِكَةُ وَالرُّوحُ فِيهَا بِإِذْنِ رَبِّهِم مِّن كُلِّ أَمْرٍ﴾
[ القدر: 4]
Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo.
Surah Al-Qadr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The angels and the Spirit descend therein by permission of their Lord for every matter.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo.
Huteremka Malaika na Jibrili katika usiku huo mpaka kwenye ardhi kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa sababu ya kila jambo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na aliye ileta Kweli na akaithibitisha - hao ndio wachamngu.
- Hakika hao wanao kuita nawe uko nyuma ya vyumba, wengi wao hawana akili.
- Jee, hawaoni vizazi vingapi tulivyo viangamiza kabla yao? Tuliwaweka katika nchi tusivyo kuwekeni nyinyi; tukawapelekea
- Hapana ubaya kwao (wake za Mtume) kuonana na baba zao, wala watoto wao, wala ndugu
- Akasema: Hebu nini amri yenu, enyi wajumbe?
- Basi wakigeuka, wewe sema: Mwenyezi Mungu ananitosheleza. Hapana mungu isipokuwa Yeye tu. Mimi namtegemea Yeye,
- Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
- Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
- Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
- Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qadr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qadr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qadr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers