Surah Nahl aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nahl aya 12 in arabic text(The Bee).
  
   

﴿وَسَخَّرَ لَكُمُ اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ وَالشَّمْسَ وَالْقَمَرَ ۖ وَالنُّجُومُ مُسَخَّرَاتٌ بِأَمْرِهِ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِّقَوْمٍ يَعْقِلُونَ
[ النحل: 12]

Na amefanya ukutumikieni usiku na mchana, na jua na mwezi, na nyota zikutumikieni kwa amri yake. Hakika katika hayo zipo ishara kwa watu wenye akili.

Surah An-Nahl in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And He has subjected for you the night and day and the sun and moon, and the stars are subjected by His command. Indeed in that are signs for a people who reason.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na amefanya ukutumikieni usiku na mchana, na jua na mwezi,na nyota zikutumikieni kwa amri yake. Hakika katika hayo zipo ishara kwa watu wenye akili.


Na Mwenyezi Mungu ameufanya usiku ukutumikieni kwa kuufanya uwe ndio wakati wenu wa kupumzika na mchana ni muwafaka kuhangaika kwenu na kwenda kwa kazi zenu, na jua kukuleteeni joto na mwangaza, na mwezi mpate kujua idadi ya miaka na hisabu, na nyota zinazo kutumikieni kwa amri ya Mwenyezi Mungu ili mpate kujua njia katika kiza. Hakika katika hayo zipo alama na dalili kwa watu ambao wananufaika kwa akili aliyo wapa Mwenyezi Mungu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 12 from Nahl


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na katika wao wapo wanao sema: Mola wetu Mlezi, tupe duniani mema, na Akhera mema,
  2. Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini.
  3. Humo wataegemea matakia, wawe wanaagiza humo matunda mengi na vinywaji.
  4. Enyi mlio amini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu mkitoa ushahidi kwa haki.
  5. Jee huwaoni wale wanao dai kuwa ati wametakasika? Bali Mwenyezi Mungu humtakasa amtakaye. Na hawatadhulumiwa
  6. Na laiti ungeli ona Malaika wanapo wafisha wale walio kufuru wakiwapiga nyuso zao na migongo
  7. Wapate kuyakanya tuliyo wapa, na wajistareheshe. Lakini watakuja jua!
  8. Kwa hivyo tukayafanya hayo kuwa onyo kwa wale walio kuwa katika zama zao na walio
  9. Hebu hukuona vipi Mwenyezi Mungu alivyo piga mfano wa neno zuri? Ni kama mti mzuri,
  10. Kwa hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Surah Nahl Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nahl Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nahl Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nahl Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nahl Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nahl Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nahl Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Nahl Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nahl Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nahl Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nahl Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nahl Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nahl Al Hosary
Al Hosary
Surah Nahl Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nahl Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, June 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers