Surah Al Qamar aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّا أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ رِيحًا صَرْصَرًا فِي يَوْمِ نَحْسٍ مُّسْتَمِرٍّ﴾
[ القمر: 19]
Hakika Sisi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku korofi mfululizo,
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, We sent upon them a screaming wind on a day of continuous misfortune,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika Sisi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku korofi mfululizo,
Sisi kwa yakini tuliwapatiliza kwa upepo ubaridi unao vuma, katika siku ya ukorofi wa daima,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nasi twazigeuza nyoyo zao na macho yao. Kama walivyo kuwa hawakuamini mara ya kwanza, tunawaacha
- Na siku atapo waita na akasema: Mliwajibu nini Mitume?
- Na nani aliye dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo? Hao watahudhurishwa mbele
- Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.
- Na pia Qaruni na Firauni na Hamana! Na Musa aliwajia kwa Ishara waziwazi, lakini walijivuna
- Ama wale wenye maradhi katika nyoyo zao, basi inawazidishia uovu juu ya uovu wao; na
- Hivi ni kwa sababu hakika Mwenyezi Mungu ndiye wa kweli, na hakika wanacho kiomba ni
- Na Mahurulaini,
- Na watapitishiwa vyombo vya fedha na vikombe vya vigae,
- BIla ya shaka atawaingiza pahala watakapo paridhia. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mpole.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers