Surah Anfal aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anfal aya 12 in arabic text(The Spoils of War).
  
   

﴿إِذْ يُوحِي رَبُّكَ إِلَى الْمَلَائِكَةِ أَنِّي مَعَكُمْ فَثَبِّتُوا الَّذِينَ آمَنُوا ۚ سَأُلْقِي فِي قُلُوبِ الَّذِينَ كَفَرُوا الرُّعْبَ فَاضْرِبُوا فَوْقَ الْأَعْنَاقِ وَاضْرِبُوا مِنْهُمْ كُلَّ بَنَانٍ
[ الأنفال: 12]

Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.

Surah Al-Anfal in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[Remember] when your Lord inspired to the angels, "I am with you, so strengthen those who have believed. I will cast terror into the hearts of those who disbelieved, so strike [them] upon the necks and strike from them every fingertip."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.


Enyi Waumini! Kumbukeni pale Mwenyezi Mungu alipo wafunulia wale wenye Roho zilio tahirika, yaani Malaika, watie ndani ya nyoyo zenu kuwa Mimi ni pamoja nanyi, nakuungeni mkono, na ninakusaidieni, kwa kuwaambia: Zitieni nguvu nyoyo za walio amini, waitii Haki na wapigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu. Na Mimi nitaifanya khofu izitawale nyoyo za washirikina, nao watakuogopeni. Nanyi enyi Waumini! Wapigeni vichwani mwao vilio juu ya shingo zao, na kateni vidole vyao vinavyo kamata panga.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 12 from Anfal


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
    Surah Anfal Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Anfal Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Anfal Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Anfal Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Anfal Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Anfal Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Anfal Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Anfal Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Anfal Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Anfal Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Anfal Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Anfal Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Anfal Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Anfal Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Anfal Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Monday, April 7, 2025

    Please remember us in your sincere prayers