Surah Hijr aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ ۖ وَقَدْ خَلَتْ سُنَّةُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الحجر: 13]
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will not believe in it, while there has already occurred the precedent of the former peoples.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
Wakhalifu hao hawaamini. Na mwendo wa Mwenyezi Mungu Mtukufu kuwapa muhula mpaka waione adhabu chungu ya Siku ya Kiyama ndio kama ulivyo kwisha tangulia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku hiyo ndio Tukio litatukia.
- Na walisema wale wasio jua kitu: Mbona Mwenyezi Mungu hasemi nasi au zikatufikia Ishara. Kama
- Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
- Sema: Hakika imefunuliwa kwangu ya kwamba hakika Mungu wenu ni Mungu Mmoja tu. Je! Mmesilimu?
- Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.
- Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,
- Watu wa Kitabu wanakutaka uwateremshia kitabu kutoka mbinguni. Na kwa hakika walikwisha mtaka Musa makubwa
- Wallahi! Sisi tulituma Mitume kwa umati zilizo kuwa kabla yako, lakini Shetani aliwapambia vitendo vyao.
- Bali mtu ni hoja juu ya nafsi yake.
- Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



