Surah Hijr aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ ۖ وَقَدْ خَلَتْ سُنَّةُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الحجر: 13]
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will not believe in it, while there has already occurred the precedent of the former peoples.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
Wakhalifu hao hawaamini. Na mwendo wa Mwenyezi Mungu Mtukufu kuwapa muhula mpaka waione adhabu chungu ya Siku ya Kiyama ndio kama ulivyo kwisha tangulia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
- Hawakumuadhimisha Mwenyezi Mungu anavyo stahiki kuadhimishwa. Hakika Mwenyezi Mungu bila ya shaka ni Mwenye kushinda.
- Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.
- Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.
- Wala Mwenyezi Mungu hataiakhirisha nafsi yoyote inapo fika ajali yake; na Mwenyezi Mungu anazo khabari
- Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.
- Na katika Mabedui hao wapo wanao fikiri kuwa wanayo yatoa ni gharama ya bure, na
- Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
- Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- Na wakamuuwa yule ngamia, na wakaasi amri ya Mola Mlezi wao, na wakasema: Ewe Saleh!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers