Surah Hijr aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ ۖ وَقَدْ خَلَتْ سُنَّةُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الحجر: 13]
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will not believe in it, while there has already occurred the precedent of the former peoples.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
Wakhalifu hao hawaamini. Na mwendo wa Mwenyezi Mungu Mtukufu kuwapa muhula mpaka waione adhabu chungu ya Siku ya Kiyama ndio kama ulivyo kwisha tangulia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi.
- Na watu wake wakamhoji. Akasema: Je, mnanihoji juu ya Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ameniongoa?
- Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
- Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,
- Waliyasema haya waliyo kuwa kabla yao, lakini hayakuwafaa waliyo kuwa wakiyachuma.
- Na baada yake walimfanya ndama kutokana na mapambo yao (kumuabudu), kiwiliwili tu kilicho kuwa na
- Na aliye tubu na akafanya mema, basi hakika huyo ametubu kweli kweli kwa Mwenyezi Mungu.
- Na wanao hojiana juu ya Mwenyezi Mungu baada ya kukubaliwa, hoja za hawa ni baat'ili
- Hebu mtu na atazame chakula chake.
- Ndani yake mna maandiko yaliyo nyooka.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



