Surah Yunus aya 79 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَالَ فِرْعَوْنُ ائْتُونِي بِكُلِّ سَاحِرٍ عَلِيمٍ﴾
[ يونس: 79]
Na Firauni akasema: Nileteeni kila mchawi mjuzi!
Surah Yunus in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Pharaoh said, "Bring to me every learned magician."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Firauni akasema: Nileteeni kila mchawi mjuzi!
Firauni na kaumu yake wakadai kuwa Musa na nduguye ni wachawi, wala si Mitume! Akawataka watu wake wamhudhurishe kila aliye hodari katika fani za uchawi katika mamlaka yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Waheshimiwa wa kaumu yake wanao jivuna waliwaambia wanao onewa wenye kuamini miongoni mwao: Je, mnaitakidi
- Akamfundisha kubaini.
- Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.
- Wakasema: Bali sisi tumekuletea yale waliyo kuwa wakiyafanyia shaka.
- Wala msilegee, wala msihuzunike, kwani nyinyi ndio wa juu mkiwa ni Waumini.
- Basi hukumu ya Mola wetu Mlezi imekwisha tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja tu adhabu.
- Kama Mola wako Mlezi alivyo kutoa nyumbani kwako kwa Haki, na hakika kundi moja la
- Na walio na maskani zao na Imani yao kabla yao, wanawapenda walio hamia kwao, wala
- Litakapo tukia hilo Tukio
- Ole wake kila mzushi mwenye dhambi!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers