Surah Assaaffat aya 142 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ﴾
[ الصافات: 142]
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then the fish swallowed him, while he was blameworthy.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
Samaki akammeza, naye hakika alistahiki lawama kwa kuikimbia kazi yake ya Daawa, Wito, kuwaitia watu wafuate Haki, na kuacha kuwasubiria wale walio kwenda kinyume naye..
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
- Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu
- Je! Hawaoni kwamba sisi tumeufanya usiku ili watulie, na mchana wa kuangaza. Hakika katika hayo
- Mola wetu Mlezi! Na utupe uliyo tuahidi kwa Mitume wako, wala usituhizi Siku ya Kiyama.
- Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.
- Basi Mola wake Mlezi akamwitikia, na akamwondoshea vitimbi vyao. Hakika Yeye ni Msikizi Mjuzi.
- Wanasema: Ushindi huu ni lini, kama mnasema kweli?
- Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukuma kwenye adhabu ngumu.
- Na hapana mmoja ila wote watakusanywa waletwe mbele yetu.
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers