Surah Assaaffat aya 142 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ﴾
[ الصافات: 142]
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then the fish swallowed him, while he was blameworthy.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
Samaki akammeza, naye hakika alistahiki lawama kwa kuikimbia kazi yake ya Daawa, Wito, kuwaitia watu wafuate Haki, na kuacha kuwasubiria wale walio kwenda kinyume naye..
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.
- Yeye anazo funguo za mbingu na ardhi. Na wale walio zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu,
- Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake
- Au ni kama mvua kubwa itokayo mbinguni, ina giza na radi na umeme; wakawa wakitia
- Na wanasema: Ahadi hii itakuwa lini, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
- (Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! Nisamehe mimi na ndugu yangu, na ututie katika rehema yako.
- Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
- Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?
- Mwenyezi Mungu hakushikeni kwa viapo vyenu vya upuuzi. Bali anakushikeni kwa yanayo chuma nyoyo zenu.
- Na atakaye mjia naye ni Muumini aliye tenda mema, basi hao ndio wenye vyeo vya
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers