Surah Assaaffat aya 142 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ﴾
[ الصافات: 142]
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then the fish swallowed him, while he was blameworthy.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
Samaki akammeza, naye hakika alistahiki lawama kwa kuikimbia kazi yake ya Daawa, Wito, kuwaitia watu wafuate Haki, na kuacha kuwasubiria wale walio kwenda kinyume naye..
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
- Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.
- Na yeyote kati yao atakaye sema: Mimi ni mungu, badala yake, basi huyo tutamlipa malipo
- Kwani wewe hakika huwafanyi maiti wakasikia, wala viziwi wakasikia wito wakisha geuka kukupa mgongo.
- Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
- Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.
- Na jueni ya kwamba mali zenu na wana wenu ni Fitna (mtihani), na kwamba kwa
- Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
- Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na kila nafsi iangalie inayo yatanguliza kwa ajili ya
- Mwenye kutenda mema basi ni kwa ajili ya nafsi yake, na mwenye kutenda uovu ni
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers