Surah Al Ala aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بَلْ تُؤْثِرُونَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا﴾
[ الأعلى: 16]
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
Surah Al-Ala in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But you prefer the worldly life,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
Bali nyinyi hamfanyi hayo yanayo pelekea kufanikiwa, lakini katika hima zenu mnatanguliza maisha ya duniani kuliko ya Akhera.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Mayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndiyo iliyo fumba, na wamelaaniwa
- Sema: Kwa fadhila ya Mwenyezi Mungu na rehema yake! Basi nawafurahi kwa hayo. Haya ni
- Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama
- Na Musa ilipo mtulia ghadhabu aliziokota zile mbao. Na katika maandiko yake mna uwongofu na
- Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
- Na sema: Mola wangu Mlezi! Niteremshe mteremsho wenye baraka, na Wewe ni Mbora wa wateremshaji.
- Hakika Ibrahim alikuwa mpole, ana huruma, na mwepesi wa kurejea kwa Mwenyezi Mungu.
- Je, wanadhani walio kufuru ndio wawafanye waja wangu ndio walinzi wao badala yangu Mimi? Hakika
- Basi walio amini na wakatenda mema watapata maghfira na riziki za ukarimu.
- Na A'di na Firauni na kaumu ya Lut'i.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Ala with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Ala mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Ala Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers