Surah Al Ala aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Ala aya 16 in arabic text(The Most High).
  
   
ayat 16 from Surah Al-Ala

﴿بَلْ تُؤْثِرُونَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا﴾
[ الأعلى: 16]

Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!

Surah Al-Ala in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


But you prefer the worldly life,


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!


Bali nyinyi hamfanyi hayo yanayo pelekea kufanikiwa, lakini katika hima zenu mnatanguliza maisha ya duniani kuliko ya Akhera.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 16 from Al Ala


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na walio kufuru walisema: Msiisikilize Qur'ani hii, na timueni zogo, huenda mkashinda.
  2. --Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu waliwatimua, na Daudi akamuuwa Jaluti, na Mwenyezi Mungu akampa Daudi
  3. Na kumbukeni tulipo ifanya ile Nyumba (ya Alkaaba) iwe pahala pa kukusanyikia watu na pahala
  4. Yeye ndiye aliye watoa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu katika nyumba zao wakati
  5. Yeye ndiye anaye huisha na anaye fisha. Akihukumu jambo liwe, basi huliambia: Kuwa! Likawa.
  6. Waambie waja wangu walio amini, washike Sala, na watoe katika tulivyo waruzuku, kwa siri na
  7. Nao huwazuia watu, na wao wenyewe wanajitenga nayo. Nao hawaangamizi ila nafsi zao tu, wala
  8. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
  9. Akasema: Mola wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta kwa mvi; wala, Mola wangu
  10. Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Ala with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Ala mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Ala Complete with high quality
Surah Al Ala Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Ala Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Ala Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Ala Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Ala Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Ala Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Ala Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Ala Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Ala Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Ala Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Ala Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Ala Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Ala Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Ala Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Ala Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, March 14, 2026

Please remember us in your sincere prayers