Surah Al Ala aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بَلْ تُؤْثِرُونَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا﴾
[ الأعلى: 16]
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
Surah Al-Ala in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But you prefer the worldly life,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
Bali nyinyi hamfanyi hayo yanayo pelekea kufanikiwa, lakini katika hima zenu mnatanguliza maisha ya duniani kuliko ya Akhera.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Anaye sikia Aya za Mwenyezi Mungu akisomewa, kisha anashikilia yale yale aliyo katazwa, na anajivuna,
- Akasema: Ama aliye dhulumu basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa Mola wake Mlezi amuadhibu adhabu
- Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini.
- Nayo hakika ni Uwongofu na Rehema kwa Waumini.
- Na kama ukistaajabu, basi cha ajabu zaidi ni huo usemi wao: Ati tukisha kuwa mchanga
- Musa akamwambia: Nikufuate ili unifunze katika ule uwongofu ulio funzwa wewe?
- Na akakurithisheni ardhi zao na nyumba zao na mali zao, na ardhi msiyo pata kuikanyaga.
- Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!
- Walisema wale wakuu walio kufuru katika watu wake: Huyu si chochote ila ni mtu tu
- Enyi mlio amini! Mmepewa ruhusa kulipa kisasi katika walio uwawa - muungwana kwa muungwana, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Ala with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Ala mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Ala Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



