Surah Najm aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ﴾
[ النجم: 17]
Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The sight [of the Prophet] did not swerve, nor did it transgress [its limit].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
Jicho la Muhammad halikubabaika kwa aliyo yaona, na wala hakukiuka mpaka ya aliyo amrishwa kwa kuona kwake huko.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?
- Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
- Basi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku za ukorofi, ili tuwaonjeshe adhabu ya kuwahizi katika
- Sema: Mola Mlezi wangu ameharimisha mambo machafu ya dhaahiri na ya siri, na dhambi, na
- Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi
- Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.
- Mkizidhihirisha sadaka ni vizuri; na mkizificha mkawapa mafakiri kwa siri basi hivyo ni kheri kwenu,
- Ambaye ni wake ufalme wa mbingu na ardhi, wala hakuwa na mwana, wala hakuwa na
- Watayapata humo wayatakayo daima dawamu. Hii ni ahadi juu ya Mola wako Mlezi, inayo ombwa.
- Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



