Surah Al Imran aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Imran aya 8 in arabic text(The Family of Imraan).
  
   

﴿رَبَّنَا لَا تُزِغْ قُلُوبَنَا بَعْدَ إِذْ هَدَيْتَنَا وَهَبْ لَنَا مِن لَّدُنكَ رَحْمَةً ۚ إِنَّكَ أَنتَ الْوَهَّابُ
[ آل عمران: 8]

(Na hao husema): Mola wetu Mlezi! Usizipotoe nyoyo zetu baada ya kwisha tuongoa, na utupe rehema itokayo kwako. Hakika Wewe ndiye Mpaji.

Surah Al Imran in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[Who say], "Our Lord, let not our hearts deviate after You have guided us and grant us from Yourself mercy. Indeed, You are the Bestower.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


(Na hao husema): Mola wetu Mlezi! Usizipotoe nyoyo zetu baada ya kwisha tuongoa, na utupe rehema itokayo kwako. Hakika Wewe ndiye Mpaji.


Hao wanazuoni wenye akili husema: Mola wetu Mlezi! Usizifanye nyoyo zetu zikaacha Haki baada ya Wewe kwisha tuongoza kuiendea hiyo Haki. Ewe Mola wetu Mlezi! Tupe rehema kutoka kwako kwa kutuwezesha na kututhibitisha. Hakika Wewe ndiwe Mwenye kunyima na ndiwe Mpaji.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Al Imran


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema.
  2. Atasema: Nyinyi hamkukaa huko duniani ila kidogo, laiti ingeli kuwa mnajua.
  3. Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.
  4. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.
  5. Nawe utawadhania wamacho, na hali wamelala. Nasi tunawageuza kulia na kushoto. Na mbwa wao amenyoosha
  6. Wakasema: Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika
  7. Mfano wa vile wanavyo vitoa katika uhai wao wa duniani ni kama upepo ambao ndani
  8. Ama walio amini na wakatenda mema watafurahishwa katika Bustani.
  9. Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.
  10. Na inapo teremshwa Sura wapo miongoni mwao wasemao: Ni nani miongoni mwenu Sura hii imemzidishia

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Imran with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Imran mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Imran Complete with high quality
Surah Al Imran Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Imran Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Imran Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Imran Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Imran Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Imran Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Imran Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Imran Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Imran Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Imran Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Imran Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Imran Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Imran Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Imran Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Imran Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 16, 2025

Please remember us in your sincere prayers