Surah Al Isra aya 92 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَوْ تُسْقِطَ السَّمَاءَ كَمَا زَعَمْتَ عَلَيْنَا كِسَفًا أَوْ تَأْتِيَ بِاللَّهِ وَالْمَلَائِكَةِ قَبِيلًا﴾
[ الإسراء: 92]
Au utuangushie mbingu vipande vipande kama ulivyo dai; au utuletee Mwenyezi Mungu na Malaika uso kwa uso.
Surah Al-Isra in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or you make the heaven fall upon us in fragments as you have claimed or you bring Allah and the angels before [us]
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au utuangushie mbingu vipande vipande kama ulivyo dai; au utuletee Mwenyezi Mungu na Malaika uso kwa uso.
Au mbingu ituangukie vichwani mwetu kwa mapande kama ulivyo dai kuwa Mwenyezi Mungu anatuahidi hayo. Au utuletee Mwenyezi Mungu na Malaika tukabiliane nao macho kwa macho!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,
- Na kama hivi ndivyo tunavyo ingiza katika nyoyo za wakosefu.
- Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.
- Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,
- Na lau kuwa si neema ya Mola wangu Mlezi bila ya shaka ningeli kuwa miongoni
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
- Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi.
- Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?
- Na hakika tulimtuma Musa pamoja na Ishara zetu na uthibitisho ulio wazi
- Hujui kwamba Mwenyezi Mungu ana ufalme wa mbingu na ardhi? Nanyi hamna mlinzi wala msaidizi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



