Surah Shuara aya 169 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿رَبِّ نَجِّنِي وَأَهْلِي مِمَّا يَعْمَلُونَ﴾
[ الشعراء: 169]
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
My Lord, save me and my family from [the consequence of] what they do."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
Na akamwomba Mola wake Mlezi amwokoe yeye na ahali zake na wayatendayo wale wajinga, baada ya kwisha kata tamaa kuwa hawamsikilizi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakikuacha hicho kuwa kilio chao mpaka tukawafanya kama walio fyekwa, wamezimika.
- Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!
- Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
- Wanaonyeshwa Moto asubuhi na jioni. Na itapo fika Saa ya Kiyama patasemwa: Waingizeni watu wa
- Basi alipo timiza muda wake na akasafiri na ahali zake, aliona moto upande wa Mlima
- Waambie wale walio kufuru: Wakikoma watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na wakiyarudia basi imekwisha pita mifano
- Kwa hakika wanaume wanao toa sadaka, na wanawake wanao toa sadaka, na wakamkopesha Mwenyezi Mungu
- Hawatasikia humo upuuzi.
- Humuingiza amtakaye katika rehema yake. Na wenye kudhulumu amewawekea adhabu iliyo chungu.
- Na siku hiyo tutawadhihirishia wazi Jahannamu makafiri waione.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers