Surah Qalam aya 52 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَالَمِينَ﴾
[ القلم: 52]
Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But it is not except a reminder to the worlds.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
Na Qurani si chochote ila ni mawaidha, na hikima, na ukumbusho kwa walimwengu wote.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
- Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa zilizo takasika,
- Hakika Mola wenu Mlezi ni Mwenyezi Mungu, ambaye ameziumba mbingu na ardhi kwa siku sita,
- Au wao wana ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo kati yao? Basi nawazipande njia
- Au nani yule anaye kuongoeni katika giza la bara na bahari, na akazipeleka pepo kuleta
- Ambao wameghafilika katika ujinga.
- Akasema: Siyo hivyo kabisa! Nendeni na miujiza yetu. Hakika Sisi tu pamoja nanyi, tunasikiliza.
- Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha.
- Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
- Na kipofu na mwenye kuona hawalingani; na walio amini na watendao mema hawalingani na muovu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



