Surah Hadid aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿اعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ يُحْيِي الْأَرْضَ بَعْدَ مَوْتِهَا ۚ قَدْ بَيَّنَّا لَكُمُ الْآيَاتِ لَعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ﴾
[ الحديد: 17]
Jueni kwamba Mwenyezi Mungu huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Tumekubainishieni Ishara ili mpate kuzingatia.
Surah Al-Hadid in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Know that Allah gives life to the earth after its lifelessness. We have made clear to you the signs; perhaps you will understand.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Jueni kwamba Mwenyezi Mungu huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Tumekubainishieni Ishara ili mpate kuzingatia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hapana akigusaye ila walio takaswa.
- Kwa kitu gani amemuumba?
- Wale ambao wameamini, na hawakuchanganya imani yao na dhulma - hao ndio watakao pata amani
- Basi ukelele ukawatwaa asubuhi.
- Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
- Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
- Kabla yenu zimepita nyendo nyingi; basi tembeeni katika ulimwengu muangalie vipi ulikuwa mwisho wa wanao
- Viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi vinamtakasa Mwenyezi Mungu, Mfalme, Mtakatifu, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
- Na kwamba adhabu yangu ndio adhabu iliyo chungu!
- Wala hatukuwaona wengi wao kuwa wanatimiza ahadi; bali kwa hakika tuliwakuta wengi wao ni wapotofu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hadid with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hadid mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hadid Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers