Surah Maarij aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تَدْعُو مَنْ أَدْبَرَ وَتَوَلَّىٰ﴾
[ المعارج: 17]
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
It invites he who turned his back [on truth] and went away [from obedience]
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
Utanadi kwa jina la huyo aliye iacha Haki, na akaacha utiifu,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Mgeuzieni kiti chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka.
- Na makaburi yatapo fukuliwa,
- Akitaka atakuondoeni, enyi watu! Na awalete wengineo. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa hayo.
- Ni vyake viliomo mbinguni, na viliomo katika ardhi. Na Yeye ndiye Mtukufu, Mkuu.
- Na mingapi katika miji iliyo kuwa ikidhulumu tumeiteketeza, na tukawasimamisha baada yao watu wengine.
- Naye ndiye aliye fanya usiku na mchana kufuatana kwa nafuu ya anaye taka kukumbuka, au
- Hata alipo fika baina ya milima miwili, alikuta nyuma yake watu ambao takriban hawakuwa wanafahamu
- Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
- Wafuateni ambao hawakutakini ujira, hali ya kuwa wenyewe wameongoka.
- Mfano wa Bustani waliyo ahidiwa wachamngu, kati yake inapita mito, matunda yake ni ya daima,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers