Surah Maarij aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تَدْعُو مَنْ أَدْبَرَ وَتَوَلَّىٰ﴾
[ المعارج: 17]
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
It invites he who turned his back [on truth] and went away [from obedience]
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
Utanadi kwa jina la huyo aliye iacha Haki, na akaacha utiifu,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nasi tukamfunulia Musa kumwambia: Tupa fimbo yako. Mara ikavimeza vyote vile walivyo vibuni.
- Wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha kweli nanyi mnajua.
- Na ukelele uliwaangamiza wale walio dhulumu, wakapambazukiwa nao ni maiti majumbani mwao.
- Na hapana mmoja ila wote watakusanywa waletwe mbele yetu.
- Na unaiona milima unaidhunia imetulia; nayo inakwenda kama mwendo wa mawingu. Huo ndio ufundi wa
- Ili imwonye aliye hai, na neno litimie juu ya makafiri.
- Hakika Sisi tumemtuma kwenu Mtume aliye shahidi juu yenu, kama tulivyo mtuma Mtume kwa Firauni.
- Na Pepo italetwa karibu kwa ajili ya wachamngu, haitakuwa mbali.
- Na arudi kwa ahali zake na furaha.
- Hayo ni kwa kuwa walikuwa wakiwajia Mitume wao kwa hoja zilizo wazi, nao wakasema: Hivyo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



