Surah Qaf aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأُزْلِفَتِ الْجَنَّةُ لِلْمُتَّقِينَ غَيْرَ بَعِيدٍ﴾
[ ق: 31]
Na Pepo italetwa karibu kwa ajili ya wachamngu, haitakuwa mbali.
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Paradise will be brought near to the righteous, not far,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Pepo italetwa karibu kwa ajili ya wachamngu, haitakuwa mbali.
Na Pepo iliyo pambwa italetwa karibu kwa ajili ya wenye kumcha Mola wao Mlezi, kwa kufuata amri zake na kuyaepuka makatazo yake, iletwe pahala pasipo kuwa mbali nao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na katika watu wapo wanao chukua waungu wasio kuwa Mwenyezi Mungu. Wanawapenda kama kumpenda Mwenyezi
- Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,
- Je, wao wanayo miguu ya kwendea? Au wanayo mikono ya kutetea? Au wanayo macho ya
- Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.
- Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.
- Au hawakumjua Mtume wao, ndio maana wanamkataa?
- Je, huwaoni wale walio ambiwa: Izuieni mikono yenu, na mshike Sala na mtoe Zaka. Na
- Siku watakayo waona Malaika haitakuwa furaha siku hiyo kwa wakosefu. Na watasema: Mungu apishe mbali!
- Na Mitume watakapo wekewa wakati wao,
- Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب