Surah Assaaffat aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُلْ نَعَمْ وَأَنتُمْ دَاخِرُونَ﴾
[ الصافات: 18]
Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Say, "Yes, and you will be [rendered] contemptible."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.
Ewe Nabii! Waambie: Ndio mtafufuliwa nyote, nanyi ni madhalili na wanyonge.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika Mja wa Mwenyezi Mungu alipo simama kumwomba, wao walikuwa karibu kumzonga!
- Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga nalo.
- Ipo njia ya kuwalaumu wale wanao kuomba ruhusa wasende vitani na hali wao ni matajiri.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
- Mkamwacha Yeye. Basi nyote nyinyi nipangieni vitimbi, na kisha msinipe muhula!
- Ni sawa anaye ficha kauli yake kati yenu na anaye idhihirisha, na anaye jibanza usiku
- Ametukuka aliye teremsha Furqani kwa mja wake, ili awe mwonyaji kwa walimwengu wote.
- Yakiwapata watu madhara humwomba Mola wao Mlezi nao wametubu kwake. Kisha akiwaonjesha rehema itokayo kwake,
- Kuwa mtapata humo mnayo yapenda?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers