Surah Zukhruf aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zukhruf aya 18 in arabic text(The Gold Adornments).
  
   

﴿أَوَمَن يُنَشَّأُ فِي الْحِلْيَةِ وَهُوَ فِي الْخِصَامِ غَيْرُ مُبِينٍ﴾
[ الزخرف: 18]

Ati aliye lelewa katika mapambo, na katika mabishano hawezi kusema kwa bayana...?

Surah Az-Zukhruf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


So is one brought up in ornaments while being during conflict unevident [attributed to Allah]?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ati aliye lelewa katika mapambo, na katika mabishano hawezi kusema kwa bayana?


Hivyo hawa wana fanya jeuri ya kumpachikia Mwenyezi Mungu mwana, ambaye kwa maumbile yake amelelewa katika mapambo, na hata hawezi kujadiliana na kupambana kwa hoja kwa nuksani yake ya kubaini. Ama hili ni jambo la ajabu!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 18 from Zukhruf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Sema: Nionyesheni mlio waunganisha naye kuwa washirika. Hasha! Bali Yeye ndiye Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu,
  2. Na Nuhu alimwomba Mola wake Mlezi: Ee Mola Mlezi wangu! Hakika mwanangu ni katika ahali
  3. Sivyo hivyo, bali anaye timiza ahadi yake na akamchamngu basi Mwenyezi Mungu huwapenda wachamngu.
  4. Ufalme wa mbingu na ardhi ni wake. Na mambo yote yanarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu.
  5. Na tulipo chukua agano lenu kuwa hamtamwaga damu zenu, wala hamtatoana majumbani mwenu; nanyi mkakubali
  6. Kwani tuliwapa Kitabu kabla ya hichi, na ikawa wao wanakishikilia hicho?
  7. Basi wakigeuka, wewe sema: Mwenyezi Mungu ananitosheleza. Hapana mungu isipokuwa Yeye tu. Mimi namtegemea Yeye,
  8. Jueni kwamba Mwenyezi Mungu huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Tumekubainishieni Ishara ili mpate kuzingatia.
  9. Na waepushe na maovu; kwani umwepushaye maovu siku hiyo, hakika umemrehemu; na huko ndiko kufuzu
  10. Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Surah Zukhruf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Zukhruf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Zukhruf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Zukhruf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Zukhruf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Zukhruf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Zukhruf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Zukhruf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Zukhruf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Zukhruf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Zukhruf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Zukhruf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Zukhruf Al Hosary
Al Hosary
Surah Zukhruf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Zukhruf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, July 12, 2025

Please remember us in your sincere prayers