Surah Waqiah aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَّا يُصَدَّعُونَ عَنْهَا وَلَا يُنزِفُونَ﴾
[ الواقعة: 19]
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
No headache will they have therefrom, nor will they be intoxicated -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
Vinywaji hivyo haviwaletei kuumwa kichwa wala kutokwa akili kwa ulevi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu,
- Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
- Akitaka atakuondoeni, enyi watu! Na awalete wengineo. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa hayo.
- Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
- Wala haiwafalii Waumini kutoka wote. Lakini kwa nini hawatoki baadhi katika kila kundi miongoni mwao,
- Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?
- Huyu si lolote ila ni mtu mwenye wazimu. Basi mngojeeni tu kwa muda.
- Na kila umma tumewafanyia mahala pa kuchinjia mihanga ya ibada ili walitaje jina la Mwenyezi
- Na pia mashet'ani wanao mpigia mbizi na kufanya kazi nyenginezo. Na Sisi tulikuwa walinzi wao.
- Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers