Surah Waqiah aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَّا يُصَدَّعُونَ عَنْهَا وَلَا يُنزِفُونَ﴾
[ الواقعة: 19]
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
No headache will they have therefrom, nor will they be intoxicated -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
Vinywaji hivyo haviwaletei kuumwa kichwa wala kutokwa akili kwa ulevi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli wachukulia watu kwa mujibu wa dhulma zao, basi asingeli
- Na siku hiyo tutawaacha wakisongana wao kwa wao. Na baragumu litapulizwa, na wote watakusanywa pamoja.
- Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.
- Na litapulizwa baragumu. Hiyo ndiyo Siku ya Miadi.
- (Baba) akasema: Ewe mwanangu! Usiwasimulie nduguzo ndoto yako, wasije wakakufanyia vitimbi. Hakika Shet'ani ni adui
- Hao wote waliwakadhibisha Mitume; basi wakastahiki adhabu yangu.
- Hiyo ni fadhila itokayo kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kutosha.
- Akasema Firauni: Mmemuamini kabla sijakupeni idhini? Hizi ni njama mlizo panga mjini mpate kuwatoa wenyewe.
- Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka
- Firauni akawafuata pamoja na majeshi yake. Basi kiliwafudikiza humo baharini kilicho wafudikiza.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



