Surah Yunus aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yunus aya 2 in arabic text(Jonah).
  
   
ayat 2 from Surah Yunus

﴿أَكَانَ لِلنَّاسِ عَجَبًا أَنْ أَوْحَيْنَا إِلَىٰ رَجُلٍ مِّنْهُمْ أَنْ أَنذِرِ النَّاسَ وَبَشِّرِ الَّذِينَ آمَنُوا أَنَّ لَهُمْ قَدَمَ صِدْقٍ عِندَ رَبِّهِمْ ۗ قَالَ الْكَافِرُونَ إِنَّ هَٰذَا لَسَاحِرٌ مُّبِينٌ
[ يونس: 2]

Je! Imekuwa ajabu kwa watu kwamba tumemfunulia mmoja wao kuwa: Waonye watu, na wabashirie wale walio amini ya kuwa watakuwa na cheo cha juu kwa Mola wao Mlezi? Wakasema makafiri: Hakika huyu ni mchawi dhaahiri!

Surah Yunus in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Have the people been amazed that We revealed [revelation] to a man from among them, [saying], "Warn mankind and give good tidings to those who believe that they will have a [firm] precedence of honor with their Lord"? [But] the disbelievers say, "Indeed, this is an obvious magician."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Imekuwa ajabu kwa watu kwamba tumemfunulia mmoja wao kuwa: Waonye watu, na wabashirie wale walio amini ya kuwa watakuwa na cheo cha juu kwa Mola wao Mlezi? Wakasema makafiri: Hakika huyu ni mchawi dhaahiri!


Haiwafalii watu kustaajabu wakakanusha wahyi wetu tunao mfunulia mtu mmoja wao, naye ni Nabii Muhammad s.a.w., ili awahadharishe watu na adhabu ya Mwenyezi Mungu, na awape bishara njema wale miongoni mwao walio amini, ya kwamba hapana shaka yoyote wana cheo kitukufu cha juu kwa Mola wao Mlezi. Na ahadi ya Mwenyezi Mungu haigeuki. Wala haiwafalii hao watu wakanushi kumsema Muhammad, Mtume wetu, kuwa yeye ni mchawi maarufu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 2 from Yunus


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
    Surah Yunus Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Yunus Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Yunus Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Yunus Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Yunus Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Yunus Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Yunus Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Yunus Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Yunus Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Yunus Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Yunus Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Yunus Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Yunus Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Yunus Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Yunus Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers