Surah Assaaffat aya 89 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَقَالَ إِنِّي سَقِيمٌ﴾
[ الصافات: 89]
Akasema: Hakika mimi ni mgonjwa!
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And said, "Indeed, I am [about to be] ill."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Hakika mimi ni mgonjwa!
Akajikhofia nafsi yake asiwe ana upotovu na maradhi ya itikadi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?
- Na tukawamiminia mvua. Basi tazama jinsi ulivyo kuwa mwisho wa wakosefu.
- Iwe salama kwa Nuhu ulimwenguni kote!
- Lakini wakiacha basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
- Na katika tulio waumba wako watu wanao ongoza kwa Haki, na kwayo wanafanya uadilifu.
- Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
- Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?
- Mwenyezi Mungu, hapana mungu isipo kuwa Yeye. Na juu ya Mwenyezi Mungu nawategemee Waumini.
- Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
- Nasi tukamwokoa yeye na wenziwe wa katika safina, na tukaifanya kuwa ni Ishara kwa walimwengu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers