Surah Sajdah aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sajdah aya 21 in arabic text(The Prostration).
  
   

﴿وَلَنُذِيقَنَّهُم مِّنَ الْعَذَابِ الْأَدْنَىٰ دُونَ الْعَذَابِ الْأَكْبَرِ لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ﴾
[ السجدة: 21]

Na tutawaonjesha adhabu khafifu kabla ya adhabu kubwa, huenda labda watarejea.

Surah As-Sajdah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And we will surely let them taste the nearer punishment short of the greater punishment that perhaps they will repent.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tutawaonjesha adhabu khafifu kabla ya adhabu kubwa, huenda labda watarejea.


Na tunaapa: Hapana shaka tutawaonjesha duniani adhabu duni kabla hawajaifikia hiyo adhabu kubwa kabisa, nayo ni kudumu milele katika Moto. Huenda pengine watakao adhibiwa kwa hiyo adhabu duni watatubia, waache ukafiri wao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Sajdah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Enyi Mitume! Kuleni vyakula vizuri na tendeni mema. Hakika Mimi ni Mjuzi wa mnayo yatenda.
  2. Kwa hakika wanaume wanao toa sadaka, na wanawake wanao toa sadaka, na wakamkopesha Mwenyezi Mungu
  3. Sema: Ni nani anaye kuruzukuni kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Au ni nani anaye miliki
  4. Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki amtakaye, na humkunjia kwa kipimo. Na wamefurahia maisha ya dunia. Na
  5. SOMA uliyo funuliwa katika Kitabu, na ushike Sala. Hakika Sala inazuilia mambo machafu na maovu.
  6. Ama anaye kujia kwa juhudi,
  7. Na hakika yule mwanamke alimtamani, na Yusuf angeli mtamani lau kuwa hakuona ishara ya Mola
  8. Hayo ni kwa sababu Mwenyezi Mungu habadilishi kabisa neema alizo waneemesha watu, mpaka wao wabadilishe
  9. Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
  10. Walio kuwa kabla yao walikadhibisha, na ikawajia adhabu kutoka pahala wasipo patambua.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sajdah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sajdah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sajdah Complete with high quality
Surah Sajdah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sajdah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sajdah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sajdah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sajdah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sajdah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sajdah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Sajdah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sajdah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sajdah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sajdah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sajdah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sajdah Al Hosary
Al Hosary
Surah Sajdah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sajdah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 13, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب