Surah Sajdah aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَنُذِيقَنَّهُم مِّنَ الْعَذَابِ الْأَدْنَىٰ دُونَ الْعَذَابِ الْأَكْبَرِ لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ﴾
[ السجدة: 21]
Na tutawaonjesha adhabu khafifu kabla ya adhabu kubwa, huenda labda watarejea.
Surah As-Sajdah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And we will surely let them taste the nearer punishment short of the greater punishment that perhaps they will repent.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tutawaonjesha adhabu khafifu kabla ya adhabu kubwa, huenda labda watarejea.
Na tunaapa: Hapana shaka tutawaonjesha duniani adhabu duni kabla hawajaifikia hiyo adhabu kubwa kabisa, nayo ni kudumu milele katika Moto. Huenda pengine watakao adhibiwa kwa hiyo adhabu duni watatubia, waache ukafiri wao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Atasema: Je! Nyie mnawaona?
- Na katika Mabedui wapo wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na wanaitakidi kuwa
- Mwenyezi Mungu humkunjulia, na humdhikishia, riziki amtakaye katika waja wake. Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni
- Shuaibu alipo waambia: Je! Hamfanyi mkamchamngu?
- Katika hao nyinyi mna manufaa mpaka muda maalumu. Kisha pahala pa kuchinjiwa kwake ni kwenye
- Anawaahidi na anawatia tamaa. Na Shet'ani hawaahidi ila udanganyifu.
- Na wanapo somewa Aya zetu, wao husema: Tumesikia. Na lau tungeli penda tunge sema kama
- Likiwafika jema wakisema: Haya ni haki yetu. Na likiwafika ovu husema: Musa na walio pamoja
- Wako juu ya viti wamekabiliana.
- Hakika pamoja na uzito upo wepesi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sajdah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sajdah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sajdah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers