Surah Fussilat aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fussilat aya 22 in arabic text(Expounded).
  
   

﴿وَمَا كُنتُمْ تَسْتَتِرُونَ أَن يَشْهَدَ عَلَيْكُمْ سَمْعُكُمْ وَلَا أَبْصَارُكُمْ وَلَا جُلُودُكُمْ وَلَٰكِن ظَنَنتُمْ أَنَّ اللَّهَ لَا يَعْلَمُ كَثِيرًا مِّمَّا تَعْمَلُونَ﴾
[ فصلت: 22]

Na hamkuwa wenye kujificha hata masikio yenu, na macho yenu, na ngozi zenu, zisikushuhudilieni. Lakini mlidhani kwamba Mwenyezi Mungu hayajui mengi katika mliyo kuwa mkiyatenda.

Surah Fussilat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And you were not covering yourselves, lest your hearing testify against you or your sight or your skins, but you assumed that Allah does not know much of what you do.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hamkuwa wenye kujificha hata masikio yenu, na macho yenu, na ngozi zenu, zisikushuhudilieni. Lakini mlidhani kwamba Mwenyezi Mungu hayajui mengi katika mliyo kuwa mkiyatenda.


Wala nyinyi hamkuwa mkiweza kuficha vitendo vyenu viovu hata viungo vyenu visivione na ikawa macho yenu, na masikio yenu na ngozi zenu, vyote hivyo vikakushuhudilieni. Lakini nyinyi mlikuwa mkidhani kuwa Mwenyezi Mungu hajui mengi katika vitendo vyenu, kwa sababu mkivifanya kwa uficho.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 22 from Fussilat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na
  2. Ni Mwenyezi Mungu aliye kufanyieni ardhi kuwa ni pahala pa kukaa, na mbingu kuwa dari.
  3. Na wale walio hama kwa ajili ya Mwenyezi Mungu baada ya kudhulumiwa, bila ya shaka
  4. Huambiwi ila yale yale waliyo ambiwa Mitume wa kabla yako. Hakika Mola wako Mlezi bila
  5. Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.
  6. Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.
  7. Na Mtume alikuwa akisema: Ee Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wameifanya hii Qur'ani ni
  8. (Akaambiwa:) Piga-piga ardhi kwa mguu wako! Basi haya maji baridi ya kuogea na ya kunywa.
  9. Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na
  10. Ili awalipe walio amini na wakatenda mema. Hao watapata msamaha na riziki ya ukarimu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fussilat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fussilat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fussilat Complete with high quality
Surah Fussilat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fussilat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fussilat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fussilat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fussilat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fussilat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fussilat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Fussilat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fussilat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fussilat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fussilat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fussilat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fussilat Al Hosary
Al Hosary
Surah Fussilat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fussilat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, April 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers