Surah Qaf aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا يُبَدَّلُ الْقَوْلُ لَدَيَّ وَمَا أَنَا بِظَلَّامٍ لِّلْعَبِيدِ﴾
[ ق: 29]
Mbele yangu haibadilishwi kauli, wala Mimi siwadhulumu waja wangu.
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The word will not be changed with Me, and never will I be unjust to the servants."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mbele yangu haibadilishwi kauli, wala Mimi siwadhulumu waja wangu.
Hapana la kugeuza kauli ilioko kwangu na onyo langu kuwatia makafiri Motoni, wala Mimi si Mwenye kuwadhulumu waja. Kwani simuadhibu mja yeyote bila ya makosa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tukampa wema duniani, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.
- Anaye geuza shingo yake ili kupoteza watu waache Njia ya Mwenyezi Mungu. Duniani atapata hizaya,
- Je! Mnayastaajabia maneno haya?
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi.
- Arrah'man, Mwingi wa Rehema
- Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika Sisi bila ya shaka ndio twenye
- Na enyi watu wangu! Muombeni msamaha Mola wenu Mlezi, kisha mtubie kwake. Atakuleteeni mbingu zenye
- Juu yake wapo kumi na tisa.
- Na ziko kwake funguo za ghaibu; hakuna azijuaye ila Yeye tu. Na Yeye anajua kilioko
- Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers