Surah Al Qamar aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ﴾
[ القمر: 22]
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We have certainly made the Qur'an easy for remembrance, so is there any who will remember?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qurani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya sahali Qurani kwa ajili ya mawaidha na mazingatio, basi je, yupo wa kuwaidhika?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi usiwat'ii makafiri. Na pambana nao kwayo kwa Jihadi kubwa.
- Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.
- Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
- Na wamechukua badala yake miungu ambayo haiumbi chochote, bali hiyo inaumbwa, haijimilikii nafsi zao madhara
- Hakika siku ya Sabato (Jumaamosi) waliwekewa wale walio khitalifiana kwa ajili yake. Na hakika Mola
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Je! Anaye kwenda akisinukia juu ya uso wake ni mwongofu zaidi, au yule anaye kwenda
- Mwenyezi Mungu amewatengenezea Bustani zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
- Nenda, wewe na ndugu yako, pamoja na ishara zangu, wala msichoke kunikumbuka.
- Na Lut'i alipo waambia watu wake: Je! Mnafanya uchafu nanyi mnaona?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers