Surah Abasa aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ إِذَا شَاءَ أَنشَرَهُ﴾
[ عبس: 22]
Kisha apendapo atamfufua.
Surah Abasa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then when He wills, He will resurrect him.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha apendapo atamfufua.
Na tena akipenda atamhuisha baada ya kufa kwake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wale walio tamani kuwa pahala pake jana, wakawa wanasema: Kumbe Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki
- Na mkiwaita kwenye uwongofu, hawakufuateni. Ni mamoja kwenu ikiwa mtawaita au mkinyamaza.
- Lao wao humo ni kupiga mayowe, na wala hawatasikia (jenginelo).
- Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
- Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
- Ni wazao wao kwa wao; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia na Mwenye kujua.
- Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao,
- Mitume hao ni wabashiri na waonyaji, ili watu wasiwe na hoja juu ya Mwenyezi Mungu
- Kumkomboa mtumwa;
- Hakika tumekuteremshia Ishara zilizo wazi na hapana wanao zikataa ila wapotovu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Abasa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Abasa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Abasa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers