Surah Abasa aya 23 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَلَّا لَمَّا يَقْضِ مَا أَمَرَهُ﴾
[ عبس: 23]
La! Hajamaliza aliyo muamuru.
Surah Abasa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
No! Man has not yet accomplished what He commanded him.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
La! Hajamaliza aliyo muamuru.
Ni kweli mwanaadamu, juu ya kuwa umri wake mrefu duniani, hakutimiza aliyo amrishwa na Mwenyezi Mungu katika mambo ya Imani na utiifu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha
- Uteremsho wa Kitabu umetoka kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
- Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?
- Kwa hivyo kusanyeni hila zenu zote, kisha mfike kwa kujipanga safu, na kwa yakini atafuzu
- Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
- Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?
- Na hawatoacha kuwamo humo.
- Mwambieni maneno laini, huenda akazingatia au akaogopa.
- Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
- Akasema: Sitampeleka nanyi mpaka mnipe ahadi kwa Mwenyezi Mungu kwamba lazima mtamrejeza kwangu, ila ikiwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Abasa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Abasa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Abasa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



