Surah Anfal aya 23 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anfal aya 23 in arabic text(The Spoils of War).
  
   

﴿وَلَوْ عَلِمَ اللَّهُ فِيهِمْ خَيْرًا لَّأَسْمَعَهُمْ ۖ وَلَوْ أَسْمَعَهُمْ لَتَوَلَّوا وَّهُم مُّعْرِضُونَ
[ الأنفال: 23]

Na Mwenyezi Mungu angeli jua wema wowote kwao ange wasikilizisha, na lau ange wasikilizisha wangeli geuka wakapuuza.

Surah Al-Anfal in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Had Allah known any good in them, He would have made them hear. And if He had made them hear, they would [still] have turned away, while they were refusing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na Mwenyezi Mungu angeli jua wema wowote kwao ange wasikilizisha, na lau ange wasikilizisha wangeli geuka wakapuuza.


Na Mwenyezi Mungu kwa ilimu yake ya tangu na tangu lau angeli ona ndani yao kuwa, katika hali yao hivi sasa, itakuja patikana kheri yoyote kwao hao kwa nafsi zao, na kwa watu, na kwa Haki, basi angeli wafanya wasikie kusikia kwa kuongoka hata Haki ikaingia akilini mwao. Na hata wangeli isikia na wakaifahamu Haki basi bado wasingeli ifuata. Na mapuuza hayawaachi kwa kuzidiwa na pumbao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 23 from Anfal


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na juu yao na juu ya marikebu mnabebwa.
  2. Hiyo ni starehe ndogo. Kisha makaazi yao yatakuwa Jahannamu. Na ni mahali pabaya mno pa
  3. Na nilipo wafunulia Wanafunzi kwamba waniamini Mimi na Mtume wangu, wakasema: Tumeamini na shuhudia kuwa
  4. Sisi tunajua kabisa wayasemayo. Wala wewe si mwenye kuwatawalia kwa ujabari. Basi mkumbushe kwa Qur'ani
  5. Na Yeye ndiye aliye ziumba bustani zenye kutambaa juu ya chanja, na zisio tambaa, na
  6. Hakika wale walio zikataa Ishara zetu tutawaingiza Motoni. Kila zitapo wiva ngozi zao tutawabadilishia ngozi
  7. Wapi! Bila ya shaka zilikujia Ishara zangu, nawe ukazikadhibisha, na ukajivuna, na ukawa miongoni mwa
  8. Na kwa usiku unapo pungua,
  9. Na ama walio amini na wakatenda mema atawalipa ujira wao sawa sawa, na atawazidishia kwa
  10. Na akasema mtu mmoja Muumini, aliye kuwa mmoja katika watu wa Firauni aliye ficha Imani

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
Surah Anfal Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anfal Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anfal Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anfal Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anfal Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anfal Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anfal Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Anfal Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anfal Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anfal Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anfal Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anfal Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anfal Al Hosary
Al Hosary
Surah Anfal Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anfal Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers