Surah Baqarah aya 242 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ﴾
[ البقرة: 242]
Namna hivi anakubainishieni Mwenyezi Mungu Aya zake ili mpate kufahamu.
Surah Al-Baqarah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Thus does Allah make clear to you His verses that you might use reason.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Namna hivi anakubainishieni Mwenyezi Mungu Aya zake ili mpate kufahamu.
Mwenyezi Mungu anakubainishieni hukumu zake, na neema zake, na Aya zake, kwa mfano wa bayana hizi na Sharia hizi zilizo wazi zenye kuleta maslaha, ili mpate kuzingatia na mpate kutenda yaliyo kheri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
- Na atawaingiza katika Pepo aliyo wajuulisha.
- Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye
- Kisha Mola wake Mlezi akamteuwa, naye akamkubalia toba yake, naye akamwongoa.
- Na ndio kama hivi tumeiteremsha Qur'ani kuwa ni hukumu kwa lugha ya Kiarabu. Na ukifuata
- Na kilipo wajia Kitabu kitokacho kwa Mwenyezi Mungu kinacho thibitisha waliyo nayo - na wao
- Kisha akaigeukia kuipiga kwa mkono wa kulia.
- Walio kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa.
- Naye anakuonyesheni Ishara zake. Basi Ishara gani za Mwenyezi Mungu mnazo zikataa?
- Kwa yakini katika Yusuf na nduguze ziko ishara kwa wanao uliza.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Baqarah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Baqarah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Baqarah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers