Surah Raad aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Raad aya 25 in arabic text(The Thunder).
  
   
ayat 25 from Surah Ar-Rad

﴿وَالَّذِينَ يَنقُضُونَ عَهْدَ اللَّهِ مِن بَعْدِ مِيثَاقِهِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّهُ بِهِ أَن يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ ۙ أُولَٰئِكَ لَهُمُ اللَّعْنَةُ وَلَهُمْ سُوءُ الدَّارِ﴾
[ الرعد: 25]

Na wale wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baada ya kuzifunga, na wanakata aliyo amrisha Mwenyezi Mungu yaungwe, na wanafanya fisadi katika nchi: hao ndio watakao pata laana, na watapata Nyumba mbaya.

Surah Ar-Rad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


But those who break the covenant of Allah after contracting it and sever that which Allah has ordered to be joined and spread corruption on earth - for them is the curse, and they will have the worst home.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wale wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baada ya kuzifunga, na wanakata aliyo amrisha Mwenyezi Mungu yaungwe, na wanafanya fisadi katika nchi: hao ndio watakao pata laana, na watapata Nyumba mbaya.


Hakika sifa za Waumini wema ni kinyume na sifa za washirikina waovu. Kwani washirikina huvunja ahadi ya Mwenyezi Mungu aliyo chukua kwao kwa mujibu wa maumbile na ambayo walijifunga nayo. Kwa hivyo wamekhalifu maumbile yao na akili zao kwa kuabudu mawe yasiyo wafaa wala kuwadhuru. Na wanavunja ahadi zao wanazo fungamana na waja wenzao, tena wanakata makhusiano yao ya mapenzi na watu, na makhusiano yao na Mwenyezi Mungu. Hawazifuati amri zake, wala hawamuabudu Yeye pekee. Na wanafanya uharibifu katika ardhi kwa uvamizi na kufanya uadui na kuvuka mipaka, na kuacha kuitengeneza dunia wakanafiika nayo! Na Mwenyezi Mungu Aliye takasika hapendi uchafuzi na ufisadi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 25 from Raad


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Raad with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Raad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Raad Complete with high quality
    Surah Raad Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Raad Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Raad Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Raad Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Raad Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Raad Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Raad Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Raad Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Raad Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Raad Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Raad Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Raad Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Raad Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Raad Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Raad Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers