Surah Hijr aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hijr aya 25 in arabic text(Al-Hijr City).
  
   

﴿وَإِنَّ رَبَّكَ هُوَ يَحْشُرُهُمْ ۚ إِنَّهُ حَكِيمٌ عَلِيمٌ
[ الحجر: 25]

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye atakaye wakusanya. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na Mjuzi.

Surah Al-Hijr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And indeed, your Lord will gather them; indeed, He is Wise and Knowing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hakika Mola wako Mlezi ndiye atakaye wakusanya. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na Mjuzi.


Na hakika walio tangulia na walio taakhari watakusanywa wakati mmoja. Na Mwenyezi Mungu atawahisabia na atawalipa. Na hayo ni kwa mujibu wa hikima yake na ujuzi wake. Na Yeye ndiye anaye itwa Mwenye hikima, Mwenye ujuzi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 25 from Hijr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.
  2. Kuleni na kunyweni kwa raha kabisa kwa sababu ya mliyo kuwa mkiyatenda.
  3. Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye hana mwana, wala hana mshirika
  4. H'A MIM
  5. Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama
  6. Sema: Mwenyezi Mungu amesema kweli. Basi fuateni mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa
  7. Isipo kuwa wale ambao Mola wako Mlezi amewarehemu; na kwa hiyo ndio Mwenyezi Mungu amewaumba.
  8. Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim
  9. Wakasema: Wallahi! Mnajua vyema kwamba sisi hatukuja kufanya uharibifu katika nchi hii, wala sisi si
  10. Na Dhun-Nun alipoondoka hali ameghadhibika, na akadhani ya kwamba hatutakuwa na uwezo juu yake. Basi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Surah Hijr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hijr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hijr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hijr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hijr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hijr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hijr Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hijr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hijr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hijr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hijr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hijr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hijr Al Hosary
Al Hosary
Surah Hijr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hijr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 12, 2025

Please remember us in your sincere prayers