Surah Hijr aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hijr aya 3 in arabic text(Al-Hijr City).
  
   

﴿ذَرْهُمْ يَأْكُلُوا وَيَتَمَتَّعُوا وَيُلْهِهِمُ الْأَمَلُ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ
[ الحجر: 3]

Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja jua.

Surah Al-Hijr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Let them eat and enjoy themselves and be diverted by [false] hope, for they are going to know.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja jua.


Lakini sasa wamo katika kughafilika, hawazingatii adhabu itakayo wapata Akhera! Basi ukisha wafikishia ujumbe wako, na ukawaonya, waachilie mbali. Wao hawana hamu ila kula, na kustarehe kwa ladha za dunia. Tamaa ya uwongo inawazuga. Na hakika bila ya shaka yoyote watakuja jua yatakayo wapata pale watapo yaona kwa macho yao Siku ya Kiyama.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 3 from Hijr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu
  2. Basi tukawalipizia. Angalia ulikuwaje mwisho wa walio kadhibisha!
  3. Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.
  4. Na lau kama wangeli simama sawasawa juu ya njia tungeli wanywesha maji kwa wingi,
  5. Lau wangeli toka nanyi wasingeli kuzidishieni ila mchafuko, na wange tanga tanga kati yenu kukutilieni
  6. Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu -
  7. Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa mja mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia.
  8. Wala wasidhani wale ambao wanafanya ubakhili katika aliyo wapa Mwenyezi Mungu katika fadhila zake kuwa
  9. Hukuwaona wale walio toka majumbani kwao kwa maelfu kwa kuogopa mauti? Mwenyezi Mungu akawaambia: Kufeni!
  10. Na wanapo itwa kumuendea Mwenyezi Mungu na Mtume wake ili ahukumu baina yao, kipo kikundi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Surah Hijr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hijr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hijr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hijr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hijr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hijr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hijr Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hijr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hijr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hijr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hijr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hijr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hijr Al Hosary
Al Hosary
Surah Hijr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hijr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, June 27, 2025

Please remember us in your sincere prayers