Surah Maarij aya 32 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ﴾
[ المعارج: 32]
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And those who are to their trusts and promises attentive
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
Na hao wenye kuzihifadhi amana za sharia na amana za waja wa Mwenyezi Mungu, na walio lazimika nayo kwa Mwenyezi Mungu na kwa watu bila ya kukhuni wala kupunja,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tena tutawasimulia kwa ilimu; wala Sisi hatukuwa mbali.
- Na katika Ishara zake ni kuumba mbingu na ardhi, na kutafautiana ndimi zenu na rangi
- Sema: Mwaonaje, yakiwa maji yenu yamedidimia chini, nani atakueleteeni maji yanayo miminika?
- Na anaye mpinga Mtume baada ya kumdhihirikia uwongofu, na akafuata njia isiyo kuwa ya Waumini,
- Na lau kuwa Haki ingeli fuata matamanio yao, basi zingeli haribika mbingu na ardhi na
- Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
- Alipo waambia ndugu yao, Hud: Je! Hamchimngu?
- Ukininyooshea mkono wako kuniuwa, mimi sitakunyooshea mkono wangu kukuuwa. Hakika mimi namwogopa Mwenyezi Mungu, Mola
- Hakika tuliwajaribu walio kuwa kabla yao, na kwa yakini Mwenyezi Mungu atawatambulisha walio wa kweli
- T'aa Siin Miim. (T'. S. M.)
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers