Surah Muhammad aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Muhammad aya 3 in arabic text(Muhammad).
  
   

﴿ذَٰلِكَ بِأَنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا اتَّبَعُوا الْبَاطِلَ وَأَنَّ الَّذِينَ آمَنُوا اتَّبَعُوا الْحَقَّ مِن رَّبِّهِمْ ۚ كَذَٰلِكَ يَضْرِبُ اللَّهُ لِلنَّاسِ أَمْثَالَهُمْ
[ محمد: 3]

Hayo ni kwa sababu walio kufuru wamefuata upotovu, na walio amini wamefuata Haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi. Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo wapigia watu mifano yao.

Surah Muhammad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


That is because those who disbelieve follow falsehood, and those who believe follow the truth from their Lord. Thus does Allah present to the people their comparisons.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hayo ni kwa sababu walio kufuru wamefuata upotovu, na walio amini wamefuata Haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi. Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo wapigia watu mifano yao.


Hayo ni kwa sababu walio kufuru wamefuata njia ya upotovu, na kwamba walio amini wamefuata njia ya Haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi. Kwa mfano kama huu wa kubainisha kwa uwazi ndio Mwenyezi Mungu anawaeleza watu hali zao ili wapate kuzingatia.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 3 from Muhammad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Sema: Hakika mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumsafishia Dini Yeye tu.
  2. Wakasema: Ati tumfuate binaadamu mmoja katika sisi? Basi hivyo sisi tutakuwa katika upotofu na kichaa!
  3. Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
  4. Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye
  5. Na tulipo kwambia: Hakika Mola wako Mlezi amekwisha wazunguka hao watu. Na hatukuifanya ndoto tulio
  6. Na hakika tuliwaweka Wana wa Is raili kikao chema, na tukawaruzuku vitu vizuri. Nao hawakukhitalifiana
  7. Na juu yao na juu ya marikebu mnabebwa.
  8. Enyi mlio amini! Subirini, na shindaneni kusubiri, na kuweni macho, na mcheni Mwenyezi Mungu, ili
  9. Basi huenda Mola wangu Mlezi akanipa kilicho bora kuliko kitalu chako, naye akapitisha kudra yake
  10. Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Muhammad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Muhammad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muhammad Complete with high quality
Surah Muhammad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Muhammad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Muhammad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Muhammad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Muhammad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Muhammad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Muhammad Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Muhammad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Muhammad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Muhammad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Muhammad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Muhammad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Muhammad Al Hosary
Al Hosary
Surah Muhammad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Muhammad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, May 13, 2025

Please remember us in your sincere prayers