Surah Qaf aya 35 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَهُم مَّا يَشَاءُونَ فِيهَا وَلَدَيْنَا مَزِيدٌ﴾
[ ق: 35]
Humo watapata wakitakacho, na kwetu yako ya ziada.
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will have whatever they wish therein, and with Us is more.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Humo watapata wakitakacho, na kwetu yako ya ziada.
Hao wachamngu watapata kila wakitakacho huko Peponi. Na Sisi tunazo neema za kuzidi kuliko yanayo mpitikia mtu kuyawaza.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Au masikini aliye vumbini.
- Na hakuwafikia Mtume ila walimkejeli.
- Akitaka atakuondoeni na alete viumbe vipya.
- Wale walao riba hawasimami ila kama anavyo simama aliye zugwa na Shet'ani kwa kumgusa. Hayo
- Enyi watu! Umekufikieni ushahidi kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Na tumekuteremshieni Nuru iliyo wazi.
- Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari,
- Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,
- Na wale watakao kanusha Ishara zetu na wakazifanyia kiburi, hao ni watu wa Motoni; humo
- Mwenyezi Mungu anajua mimba abebayo kila mwanamke, na kinacho punguka na kuzidi matumboni. Na kila
- Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



