Surah Qaf aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ ۖ ذَٰلِكَ يَوْمُ الْخُلُودِ﴾
[ ق: 34]
(Ataambiwa) ingieni kwa salama. Hiyo ndiyo siku ya daima dawamu.
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Enter it in peace. This is the Day of Eternity."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
(Ataambiwa) ingieni kwa salama. Hiyo ndiyo siku ya daima dawamu.
Itasemwa kwa hishima yao: Ingieni Peponi kwa amani. Hiyo siku mtakapo ingia Peponi ndiyo siku ya kubakia milele isiyo na mwisho.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Lakini walio bobea katika ilimu miongoni mwao, na Waumini, wanayaamini uliyo teremshiwa wewe, na yaliyo
- Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?
- Likiwafika jema wakisema: Haya ni haki yetu. Na likiwafika ovu husema: Musa na walio pamoja
- Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
- Na nafsi zikaunganishwa,
- Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukuma kwenye adhabu ngumu.
- Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
- Akasema: Basi nyinyi mnawaabudu asiye kuwa Mwenyezi Mungu wasio kufaini kitu wala kukudhuruni?
- Akasema: Ndiye Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi ni
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu anawajua hao wanao zuilia, na wanao waambia ndugu zao: Njooni kwetu!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers